Ukiwa na laini Maalum ya Mwanachuo, Mwanachuo anaweza kujiunga na bando maalum za Mwanachuo mahali popote pale, kwa kupiga *148*55#.
Ofa maalum ya mwanachuo ya Halotel ni huduma ya promosheni ambayo inawawezesha wanafunzi wa vyuo vikuu na vyuo vingine nchini kuendelea kuwasiliana kupitia huduma za simu za Halotel ambazo ni huduma za sauti na kujifunza zaidi kwa kutumia intaneti ya kasi ya juu.
Halotel inawapa wanafunzi wote wa vyuo ofa mbili maalumu;
– Bando Maalum
Vifurushi utakavyopata
Muda |
Gharama (Tsh) |
Halotel (Dk) |
Mitandao yote (Dk) |
SMS |
Data (MB) |
Siku |
300 |
35 |
3 |
300 |
350 |
500 |
60 |
5 |
500 |
550 |
|
Wiki |
1,500 |
200 |
15 |
1,500 |
1,229 |
2,500 |
300 |
20 |
2,500 |
2,560 |
|
500 |
– |
– |
|
600 |
|
Mwezi |
9,999 |
1,200 |
80 |
10,000 |
10,240 |
good
LikeLiked by 1 person
jacksoni
LikeLike
naomba mkopo was milioni 8
LikeLike
o
LikeLike
naomba niungwe na bando la Wana chuo
LikeLike
Je napataje hiyo line sasa??
LikeLike
nataka kuwa wakala was halotel
LikeLike
Vp unaweza kubadili lain kua ya chuo
LikeLike